“Jambo Bwana”

“Jam­bo, Jam­bo Bwa­na, haba­ri gani? Mzu­ri sana!
Wage­ni mwa­ka­ri­bi­sh­wa, Kenya yetu haku­na mata­ta.
Kenya nchi nzu­ri. Haku­na mata­ta.
Nchi ya kupen­de­za. Haku­na mata­ta.
Nchi ya ma’ajabu. Haku­na mata­ta.
Nchi yenye ama­ni. Haku­na mata­ta.”